Sunday, August 11, 2013

PICHA ZA MUHADHARA JANA MOROGORO
Shekh Ponda akizungumza kwenye Kongamano , Augosti 10, mwaka huu mjini Morogoro

akitambulishwa jukwaani Shekh Ponda.


Askari wa FFU wakijisongeza kati kati ya uwanja mara baada ya muda wa kongamano kumalizika.
Shekh Ponda akikaribishwa kwenye jukwaa kuu baada ya kuwasili kwenye viwanja vya shule ya Msingi Kiwanja Cha Ndege , mjini Morogoro
Kikosi cha FFU uwanjani
 Shekh Ponda akisalimiana na Mhadhiri wa Mihadhara nchini, Ustaadhi Abubakari
Shekh Ponda akiteta jambo na baadhi ya Viongozi wa umoja wa Wahadhiri wa Dini ya Kiislamu Mkoa wa Morogoro
 Shekhe Ponda akiwa meza kuu kwenye kongamano hilo

 Shekhe Ponda akiwa amezingirwa na waumini

Waumini katika Kongamano hilo.

Waumini wa Dini ya Kiislamu wa mjini Morogoro wakimsikiliza Shekh Ponda

Waumini wa Kiislamu wakitawanyika uwanjani baada ya muda wa kongamano kufikia tamati.

No comments:

Post a Comment