Friday, August 23, 2013

SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS MUGABE ZIMBABWE

Rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe akila kiapo cha kuongoza nchi hiyo kwa miaka mitano ijayo katika sherehe zilizofana sana katika Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare Agosti 22, 2013
Rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe akivishwa shada na medali baada ya kula kiapo cha kuongoza nchi hiyo kwa miaka mitano ijayo katika sherehe zilizofana  katika Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare Agosti 22, 2013
Rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe akishukuru wananchi baada ya kiapo cha kuongoza nchi hiyo kwa miaka mitano ijayo katika sherehe zilizofana  katika Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare Agosti 22, 2013
JK akimpongeza Rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe katika sherehe za kula kiapo cha kuongoza nchi hiyo kwa miaka mitano ijayo katika sherehe zilizofana  katika Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare Agosti 22, 2013
Rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe akisalimia wanannchi baada ya kiapo cha kuongoza nchi hiyo kwa miaka mitano ijayo katika sherehe zilizofana  katika Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare Agosti 22, 2013




Rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe akivishwa shada na medali baada ya kula kiapo cha kuongoza nchi hiyo kwa miaka mitano ijayo katika sherehe zilizofana  katika Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare Agosti 22, 2013

No comments:

Post a Comment