1- kufuatana na tiba ya awali aliyopata ikiwa ni pamoja na kushonwa jeraha kabla ya kufikishwa MOI imekuwa vigumu kujua kama jeraha lilisababishwa na kitu gani
2- kipimo cha X-ray kilionyesha kwamba alikuwa amepata mvunjiko wa mfupa mkubwa wa bega bila mifupa kupishana
3- hivyo basi Sheikh Ponda Issa Ponda anaendelea na matibabu baada ya upasuaji.
No comments:
Post a Comment