- ATAKA VIONGOZI WA CHAMA KUFANYA KAZI KWA KUJITOLEA
- AWAAGIZA VIONGOZI WA CHAMA KUWA KARIBU NA MABALOZI WA NYUMBA KUMI
- APONGEZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI
- ASEMA KATIBA HAITABADILISHA MAISHA KAMA KUFUMBA NA KUFUMBUA MACHO.
- AWAAMBIA WATENDAJI WA SERIKALI HAWANA BUDI KUTEMBELEA WANANCHI BADALA YA KUJIFUNGIA OFISINI
- ASIKITISHWA NA UZEMBE WA KUTOWAPA TAARIFA WANANCHI KWA WAKATI
Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana akimpa mkono wa pole John Shilindi mtoto wa Balozi wa Shina namba 1 kata ya Dakama wilaya ya Maswa aliyefariki hivi karibuni.

No comments:
Post a Comment