Saturday, September 14, 2013

KUTOKA ZANZIBAR

Padri mwengine amwagiwa tindikali



Padri wa kanisa Katoliki Parokia ya Cheju Zanzibar, Anselmo Mwangamba amejeruhiwa usoni na kifuani baada ya kumwagiwa tindikali na Watu wasiojulikana katika maeneo ya mlandege jioni ya Jana , akiwa akiwa katika matembezi yake.nje duka la Internet katika eneo hilo. 

No comments:

Post a Comment