RAIS DKT. KIKWETE AONGEA NA MABALOZI WA HESHIMA (HONORARY CONSULS) WASHINGTON D C
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mabalozi wa heshima watakaoiwakilisha Tanzania katika majimbo mbalimbali nchini Marekani wakati wa hafla ya kuwapa hati za utambulisho zilizofanyika katika ubalozi wa Tanzania jijini Washington Marekani (picha na Freddy Maro)
No comments:
Post a Comment