RAIS WA ZANZIBAR AAGWA NA BALOZI WA ADISS ABABA ETHIOPIA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi mpya wa Tanzania nchini Ethiopia Bibi Naimi S.H.Azizi ambaye alifika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga leo,baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimaiana na Balozi mpya wa Tanzania nchini Ethiopia Bibi Naimi S.H.Azizi alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga leo,baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
No comments:
Post a Comment