UJUMBE WA TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA TANGA MH CHIKU GALAWA
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Bw. Benedict Ole Kuyan akizungumza wakati Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Winfrida Korosso alipomtembelea ofisini kwake mkoani Tanga wakati Tume ikiwa katika Kikao chake cha Baraza la Wafanyakazi mkoani humo, Kulia ni Katibu Msaidizi wa Tume Bi. Agnes Mgeyekwa (Picha na Munir Shemweta- LRCT)
No comments:
Post a Comment