Pages
MWANZO
MAKALA
FIQH
SIRA
IJUMAA
AZHAR SHAREEF
PICHA NA MATUKIO
TASFIRI YA QUR AN
UTAMBULISHO.
LIKE OUR PAGE ON FACEBOOK
Wednesday, September 25, 2013
UZINDUZI WA CHAPISHO LA MGAWANYO WA IDADI YA WATU NA JINSI KWENYE SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2012 WAFANYIKA LEO
Baadhi ya wajumbe wakifuatilia uzinduzi wa chapisho la mgawanyo wa idadi ya watu na jinsi kwenye sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 uliofanyika leo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere ,jijini Dares Salaam
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi (katikati) akizindua chapisho la mgawanyo wa idadi ya watu na jinsi kwenye sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 uliofanyika leo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere ,jijini Dares Salaam.
Mwakilishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais wa Zanzibar, Said Shaaban Said akipokea chapisho la chapisho la mgawanyo wa idadi ya watu na jinsi kwenye sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 uliofanyika leo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere ,jijini Dares Salaam.
N
aibu Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akipokea chapisho la chapisho la mgawanyo wa idadi ya watu na jinsi kwenye sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 uliofanyika leo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere ,jijini Dares Salaam.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi(katikati) akiwa katika picha ya pamoja leo wakati wa uzinduzi wa chapisho la mgawanyo wa idadi ya watu na jinsi kwenye sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 uliofanyika leo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere ,jijini Dares Salaam.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment