Friday, August 09, 2013

SWALA YA EID EL FITR MKOA WA DAR ES SALAAM , UWANJA WA MNAZI MMOJA.

Imamu wa Msikiti wa Manyema Sheikh Hamid Massoud Jongo akiongoza swala ya Eid El fitr katika Viwanja vya Mnazi  Mmoja leo Asubuhi.
Imamu na Kaadhi wa Mkoa wa Dar es salaam Sheikh Hamid Massoud Jongo akitoa Hutba baada ya Swala ya Eid katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Profesa Ibrahimu Lipumba akifuatilia Hutba ya Swala katika Swala ya Eid Viwanja vya Mnazi

 Viongozi Mbalimbali wa Dini pamoja Kamanda wa kanda maalum Polisi .
Waumini.

No comments:

Post a Comment