Habari zilizo enea katika Mitandao ya Kijamii Facebook kwa Muda huu zinaeleza kuwa Sheikh Ponda Issa Ponda kapigwa
risasi mkoani morogoro leo.
Inasemekana sheikh Ponda alipigwa risasi baada ya kushuka kwenye tax kwa ajili ya kuhutubia mhadhara katika eneo la kiwanja cha ndege.
Vyanzo cha habari vinasema risasi hizo zimempiga bega la kushoto. (Inna lillah wa inna illayhi rajioun).
Tunaendelea kufatilia Taarifa hizi tuwaeleza zaidi ukweli wake Jee ni sahihi yaliyotokea ....
MUENDELEZO WA HABARI.
VYANZO VINGI VYA HABARI TULIVYO WASILIANA NAVYO VINASEMA KUWA NI KWELI AMEPIGWA RISASI BEGANI ILA POLISI MKOA WA MOROGORO WAMEKANUSHA AMA HABARI WANAZOSEMA BAADHI KUWA AMEFARIKI SI ZA KWELI INSHA ALLAH tunazidi fatilia ...
Inasemekana sheikh Ponda alipigwa risasi baada ya kushuka kwenye tax kwa ajili ya kuhutubia mhadhara katika eneo la kiwanja cha ndege.
Vyanzo cha habari vinasema risasi hizo zimempiga bega la kushoto. (Inna lillah wa inna illayhi rajioun).
Tunaendelea kufatilia Taarifa hizi tuwaeleza zaidi ukweli wake Jee ni sahihi yaliyotokea ....
MUENDELEZO WA HABARI.
VYANZO VINGI VYA HABARI TULIVYO WASILIANA NAVYO VINASEMA KUWA NI KWELI AMEPIGWA RISASI BEGANI ILA POLISI MKOA WA MOROGORO WAMEKANUSHA AMA HABARI WANAZOSEMA BAADHI KUWA AMEFARIKI SI ZA KWELI INSHA ALLAH tunazidi fatilia ...
Hapana kitaeleweka 2
ReplyDelete