Saturday, August 10, 2013

TETESI : SHEIKH PONDA APIGWA RISASI MOROGORO LEO

Habari zilizo enea katika Mitandao ya Kijamii Facebook kwa Muda huu zinaeleza  kuwa Sheikh Ponda Issa Ponda kapigwa risasi mkoani morogoro leo. 

Inasemekana sheikh Ponda alipigwa risasi baada ya kushuka kwenye tax kwa ajili ya kuhutubia mhadhara katika eneo la kiwanja cha ndege.

 Vyanzo cha habari vinasema risasi hizo zimempiga bega la kushoto. (Inna lillah wa inna illayhi rajioun).

Tunaendelea kufatilia Taarifa hizi tuwaeleza zaidi ukweli wake Jee ni sahihi yaliyotokea ....

MUENDELEZO WA HABARI.
 
VYANZO VINGI VYA HABARI TULIVYO WASILIANA NAVYO VINASEMA KUWA NI KWELI AMEPIGWA RISASI BEGANI ILA POLISI MKOA WA MOROGORO WAMEKANUSHA AMA HABARI WANAZOSEMA BAADHI KUWA AMEFARIKI SI ZA KWELI  INSHA ALLAH tunazidi fatilia ... 

1 comment: