Sunday, August 18, 2013

WACHA KILE KINACHOKUTIA SHAKA UFUATE KILE
KISICHOKUTIA SHAKA.
 Kutoka kwa Abu Muhammad Al-Hasan Ibn ‘Ali Ibn Abi Twaalib mjukuu wa Mtume  (S.A.W)na kipenzi chake Radhi za M/Mungu ziwashukie wawili hao  amesema :
 
Nilihifadhi kutoka kwa Mtume (S.A.W)  maneno haya: “Wacha kile kinachokutia shaka ufuate kile kisichokutia shaka”.











 
Imesimuliwa na At-Tirmidhi na An-Nasai, At-Tirmidhi akisema kuwa ni hadithi Hasan na Sahihi.

No comments:

Post a Comment