MUENDELEZO MPYA WA MKASA WA SHEIKH ISSA PONDA
Shura ya Maimamu chini ya Sheikh Kundecha Musa Kundecha imeitaka serikali kuunda tume huru kufanya uchunguzi kuhusu kadhia ya kujeruhiwa kwa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda.
Katika mkutano wake na waandishi wa habari katika Msikiti wa Mtambani jijini Dar es Salaam, Amiri Kundecha aliyeongozana na wakili wa Sheikh Ponda, Bwana Nassoro Juma, ameitahadharisha serikali kuwa inaelekea kupoteza imani yake kwa wananchi, hususan Waislamu, kutokana na dalili zote kuonesha kuwa polisi ndio waliohusika na tukio hilo.
Shura ya Maimamu chini ya Sheikh Kundecha Musa Kundecha imeitaka serikali kuunda tume huru kufanya uchunguzi kuhusu kadhia ya kujeruhiwa kwa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda.
![]() |
| Sheikh Ponda |
Katika mkutano wake na waandishi wa habari katika Msikiti wa Mtambani jijini Dar es Salaam, Amiri Kundecha aliyeongozana na wakili wa Sheikh Ponda, Bwana Nassoro Juma, ameitahadharisha serikali kuwa inaelekea kupoteza imani yake kwa wananchi, hususan Waislamu, kutokana na dalili zote kuonesha kuwa polisi ndio waliohusika na tukio hilo.
![]() |
| Jeraha alilopata |

