Mwiinjilisti mwanamke kutoka nchini Nigeria ambaye ana kibali cha kazi ya uinjilisti katika huduma ya Life Changer Chapel iliyoko Sinza jijini Dares Salaam , Blessing Dangana, anayedaiwa kuwatunza raia wa Nigeria watano ambao wanatoa huduma hiyo bila kibali maalum akitoka nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu mara baada ya kufikishwa mahakamani hapo leo.
Picha zote na Magreth Kinabo- Maelezo
No comments:
Post a Comment