SIRA

SIRA
Sira ni fani inayoelezea maisha ya Nabii Muhammad(S.A.W)  Tangu kuzaliwa kwake mpaka kufa kwake.

Hii inakusanya  Malezi yake  makuzi yake , wasifu wake wa kimaumbile, Tabia zake, harakati zake katika kuufikisha ujumbe kwa Uislamu na watu wote kwa Ujumla.

Vile vile Sira inaelezea yake Mtume na Watu wa mataifa mbalimbali na mengi katika Mambo yalitokea kabla ya kuwa kwake Mtume na Mpaka kuwa kwake Mtume pia katika Sira utaweza tambua  Maisha na utawala wa Makhalifa waongofu baada ya Mtume.





No comments:

Post a Comment