Monday, July 29, 2013

JUMUIYA YA KUHIFADHISHA QUR’AN TUKUFU TANZANIA NA TANZANIA MUSLIM HAJJ TRUST.

WANAWAKARIBISHA WAISLAM WOTE KATIKA
MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR’AN TUKUFU YA KIMATAIFA

FAINALI KWA WASICHANA


Saa 3:00 ASUBUHI
Ukumbi: Star Light Hotel Hall
(Waalikwa Wanawake tu).


FAINALI KWA WANAUME

Jumapili , Tarehe 04 Agosti 2013,
Saa 3:00 ASUBUHI
Ukumbi:Diamond Jubilee Hall
(Waalikwa Wanaume na Wanawake).

Changia kuendeleza kuhifadhisha QUR’AN Tukufu Tanzania kupitia Mtandao wetu www.quran.or.tz

Tunawashukuru na kuwatakia Funga Njema yenye Baraka na kukubaliwa Dua zetu ambazo tunazo ziomba , Amiin .

Kwa Niaba ya Kamati ya Maandalizi.

No comments:

Post a Comment