Tuesday, August 06, 2013

KUMBUKUMBU YA HAFLA YA MADARSATUL - ABASSIA KARIAKOO , DAR ES SALAAM.
 Alhabib Haji Sunday Manara akifurahi na Madihi Nnabiy Madrasatul - Abasiyah - Kariakoo.

Ustaadh Adamu Ahmad Mwalimu Mkuu wa Madrasatul - Itswaam - Temeke katika Hafla hiyo kuliani kwake ni Sheikh Muhidini Mkoyogole Naibu Kadhi Mkuu wa Tanzania.
Sehemu ya Masheikh na Viongozi walio kuwepo katika Hafla akiwemo Ust Othman Maalim toka Zanzibar .
Sehemu  Viongozi waalikwa katika Hafla hiyo.
                                                    PICHA NA MAKTABA YETU.

No comments:

Post a Comment