Wednesday, August 14, 2013

Misri Imechafuka leo



Mamia ya Wafuasi wa Rais Morsi  wameripotiwa kuuwawa na  wengine Maelfu kwa Maelfu wakijeruhiwa  wakati maafisa wa usalama nchini Misri walipoanza operesheni ya kuwatimua wafuasi wa rais aliyeng'olewa madarakani Mohammed Morsi, waliokuwa wamekita kambi mjini Cairo katika Viwanja vya Nahdhwa na Rabial Adawiya.

No comments:

Post a Comment