Sunday, September 15, 2013

KANALI ABDULRAHMAN KINANA AANZA ZIARA MKOANI SIMIYU, MASWA

1Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na kusalimiana na wananchi Wilayani Maswa mara baada ya kuwasili akitokae Shiyanga, ambapo anaendelea na ziara yake ya kuimarisho chama kukagua miradi ya maendeleo na katika kutekeleza ilani ya uchaguzi ya Chama hicho ambapo leo baada ya shughuli mbalimbali atawahutubia wananchi mjini Maswa Mkoa mpya wa Simiyu jioni Jana. 3Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi , Siasa na Uenezi akishiriki kuchanaganya mchanga wakati Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokagua ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Ghami Kata ya Nyalikungu Wilayani Maswa.5Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kufyatua matofali kwa ajili ya ujenzi  ujenzi wa zahanati ya Ghami Katika kata ya Nyalikungu.6Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kufyatua tofali alilolifyatua wakati alipotembelea na kukagua ujenzi wa zahanati hiyo.7Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kufyatua akizungumza na wananchi wakati alipokagua mradi wa ujenzi wa Zahanati katika kijiji cha Ghami Kata ya Nyalikungu Wilayani Maswa.8Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapatia tofari mafundi wakati wakijenga zahana.ti ya kijiji cha Ghambi alipokagua mradi wa ujenzi wa zahanati hiyo9
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipiga picha ya pamoja na wanaCCM wa shina la Komalija mjini Maswa mara baada ya kuongea nao.10Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wanachama wa shina la muungano Wilayani Maswa1Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Badeco mjini Maswa Mkoani Simiyu jana.2Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi , Siasa na Uenezi akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Badeco mjini Maswa Mkoani Simiyu Jana.3Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Bw. Pascal Mabiti akizungumza na w.ananchi wa mkoa wake katika mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya Badeco mjini Maswa Jana.4Wananchi waliohudhuria katika mkutano huo mjini Maswa.
(PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-MASWA SIMIYU)

No comments:

Post a Comment