Tuesday, September 24, 2013

NAIBU WAZIRI MHE. UMMY MWALIMU AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOA WA PWANI

Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto, Mhe.Ummy Mwalimu  leo amehitimisha ziara yake ya Mkoa wa Pwani kwa kumalizia na Wilaya ya Mafia. 
 Akiwa ziarani Mafia amevitembelea vijiji vya Chole, Miburani, Kilindoni, na vilevile alikutana na wanafunzi wa Sekondari ya Kitomondo.
Amefanya mkutano na Wafanyakazi wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wa Wilaya,Watendaji wa Wilaya na Kamati ya Ulinzi ya Wilaya.
2Mhe.Ummy Mwalimu akisisitiza jambo wakati wa Mkutano wake wa hadhara na wananchi wa kijiji cha Chole ambapo amesisitiza ushiriki wa wananchi katika kuleta maendeleo yao . Kulia kwake ni Mkuu wa Wlaya ya Mafia Mhe.Sauda Mtondoo. Sehemu ya Wananchi  wa kijiji cha Miburani waliojitokeza katika mkutano wa hadhara kumsikiliza Mhe.Ummy Mwalimu  hayupo pichani.Sehemu ya Wananchi wa kijiji cha Miburani waliojitokeza katika mkutano wa hadhara kumsikiliza Mhe.Ummy Mwalimu hayupo pichani3Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii,Mhe. Ummy Mwalimu akisalimiana na Watoto wanaosoma katika kituo cha Watoto kinachosimamiwa na kikundi cha kina mama cha Chole Society for Women Development katika kijiji cha Chole , Wilayani MafiaMhe.Ummy Mwalimu  akiwa katika boti kuelekea katika kijiji cha Chole . Kulia kwake pembeni ni Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe.Sauda MtondooMhe.Ummy Mwalimu akiwa katika boti kuelekea katika kijiji cha Chole . Kulia kwake pembeni ni Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe. Sauda Mtondoo4Mhe. Ummy Mwalimu akiwa katika picha ya pamoja  na Mkuu wa Wilaya Mhe. Sauda Mtondoo , Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, na Watendaji Wakuu wa Wilaya mara baada ya kumaliza ziara yao katika Kijiji cha Chole Mafia5Mhe.Ummy Mwalimu katika picha ya pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhe.Sauda Mtondoo na Walimu wa Shule ya Sekondari ya Kitomondo alipowatembelea shuleni hapo na kuongea na wasichana kwa lengo la kuwahamasisha umuhimu wa elimu

No comments:

Post a Comment