Saturday, May 24, 2014

YAH MUALIKO WA MAULID YA MTUME MUHAMMAD REHMA ZA MWENYEZI MUNGU ZIMSHUKIE JUU YAKE NA AMANI

Bismillahi Rahmani Rahim

Ungozi wa Madrasatul Amini ya Marhum Sheikh Nassor Amran  Iliopo kwa Ali Maua A Chini ya Uongozi na Usimamizi wa Mudiru Alhaj Sheikh Mohammad Nassor Unapenda Kukualika na Kuwakaribisha Wadau wote na Wapenzi Wa Mtume Muhammmad Rehma za Mwenyezi Mungu zimshukie Juu yake Shughuli hii Itafanyika hapa MADRASANI KWETU KWA RATIBA IFUATAYO  SIKU YA IJUMAA TAREHE 30 / 5 / 2014 Kuanzia Saa 4 Asubuhi Maonyesho ya Wanafunzi na Baada ya Swala ya ISHAAI MAULIDI YA JUMUIA  
MASHEIKH NA WAALIKWA KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI WATAHUDHURIA NAWE TUNA KUKARIBISHA KUUNGANA NASI KATIKA JAMBO HILI.
Watendaji wa Kuu na Waratibu wa Shughuli hii MAPACHA  NA WAPENZI WA MTUME MUHAMMAD REHMA ZA MWENYEZI MUNGU ZIMSHUKIE JUU YAKE NA AMANI KATIKA Moja ya hafla kama inayo tarajia fanyika Siku ya Ijumaa.


Kwa Mdau yeyote Ambae atahitaji kuchangia Baadhi ya Vifaa kama Maji , Juice N.k Unakaribishwa Ujachelewa.

KWA MAWASILIANO ZAIDI WASILIANA NA 0713526494 / 0712257492 0715800772.

No comments:

Post a Comment