Monday, July 29, 2013

Vijana wa Qur an kutoka Nairobi , Kenya na Dar es salaam Tanzania .

Mshindi wa mashindano ya Quran Juzuu 30 , 
Umri wa miaka 15 
Jina  Abdulhalim  wa Madrasatul Bushra NAIROBI.

Mashindano hayo hufanyika kila Ramadhani Uwanja wa Makadara Mombasa Amepata zawadi ya Hajj yake na Mzazi wake na Dollar 350 za Marekani na Shillingi elfu 30 pesa Taslimu za KENYA.
Mshindi wa kwanza  Juzuu 30 wa Mashindano ya Qur-an ya 14 yanayoandaliwa na Taasisi ya Al-hikma education centre chini ya usimamizi wa Sh. Nurdin Kishki.

Jina: Suleyman Omary  Umri 13
Madrasa : Al-hikma primary english medium (Markaz Al-hikma) darasa la 6.

Mashaa Allaah!


Allah ajaalie Quran kuwa hoja kwetu na wala sio juu yetu.

No comments:

Post a Comment