Wednesday, August 21, 2013

ALHAJ ALI HASSAN MWINYI NA MZEE MKAPA WAWASILI ZIMBABWE KUHUDHURIA SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA RAIS MUGABE.
Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Benjamin William Mkapa pamoja na wake zao, Mama Sitti Mwinyi na Mama Anna Mkapa, wakiwasili katika Uwanja wa  Ndege wa Kimataifa wa Harare, Zimbabwe, walikoalikwa kushiriki katika sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa Zimbambwe, Mhe. Robert Mugabe, inayotarajiwa kufanyika kesho Alhamisi Agosti 21, 2013.
PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment