Viongozi wa Serikali. |
Wananchi katika Baraza hilo wakifatilia kwa Makini yanayojiri. |
Wananchi wakifuatilia Hutuba ya Baraza la Eid, ikisomwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, katika ukumbi wa Salama Bwawani. |
Wanawake wa Kiislamu wakiwa wanafatilia Baraza hilo. |
Mufti Mkuu wa Zanzibar Shekh Omar Kalbi, akisoma dua baada ya kumalizika kwa hutuba ya Baraza la Eid Fitry ilosomwa na Rais wa Zanzibar.na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, |
Viongozi wa Dini . |
Wageni wakipata Chakula. Picha na ZanziNews. |
No comments:
Post a Comment