Thursday, August 15, 2013

POLISI WANENA.
Baada ya wafuasi wanaomuunga mkono Sheikh Issa Ponda kutangaza kufanya maandamano jijini Dar es Salaam ya kupinga hatua ya kupelekwa mahabusu akiwa mgonjwa, Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano hayo, laonya kwamba litakabiliana na mtu yeyote atakaye kaidi amri hiyo. endelea kuwa nasi.
Chanzo  : Mwananchi News

No comments:

Post a Comment