Thursday, October 10, 2013

Naibu wa Chama cha Kikomunisti Jamhuri ya Watu wa China


IMG_2221  
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama cha Kikomunisti cha Jamhuri ya Watu wa China Comrade Ai Pin,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo,(wa pili kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,na Asha Rose Migiro Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa,Siasa na Uhusiano wa Kimataifa.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]IMG_2236 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama cha Kikomunisti cha Jamhuri ya Watu wa China Comrade Ai Pin,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment