Sunday, October 06, 2013

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN ASHIRIKI KONGAMANO LA ELIMU

IMG_2216 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akisalimiana na Viongozi mbali mbli alipowasili katika viwanja vya Salama Bwawani Hotel,Mjini Unguja kulifungua Kongamano la siku mbili la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]IMG_2226  

Baadhi ya washiriki wa Kongamano la siku mbili la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar  wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja, na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] IMG_2308  

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akitoa hutuba yake kulifungua kongamano la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, lililofanyika jana   katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja,(kulia) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamuhuna,na MKuu wa Mkoa MjiniMagharibi Abdalla Mwinyi Khamis.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]IMG_2364  

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kushoto) akiwa na Viongozi mbali mbali walipokuwa  wakiangalia maonesho ya Vitabu na kazi mbali mbali baada ya kulifungua  kongamano la siku mbili  la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, yaliyofanyika  nje ya viwanja vya ukumbi wa Salama Bwawani Mjini zanzibar jana,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]IMG_2375  

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati)pamoja na ujumbe aliofuatana nao wakiwangalia watoto waliokuwa wakisoma vitabu wakati wa maonesho,yaliyofanyika  nje ya viwanja vya ukumbi wa Salama Bwawani Mjini zanzibar jana, baada ya kulifungua  kongamano la siku mbili  la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_2420
  

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Chuo Mafunzo ya Amali Mkokotoni Mkubwa Ibrahim,wakati alipotembelea kazi za mafundi uashi jana alipoyazindua maonesho wakati wa kongamano la siku mbili  la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

 IMG_2499  

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) alipotembelea sehemu ya wanafunzi wasioona wakati wa maonesho baada ya kulifungua kongamano la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar nje ya ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment