Wednesday, December 04, 2013

SAFARI YA NDUGU HUSSEIN MOHAMMAD AFIF KUREJEA TANZANIA.


Al Akhiy Hussein Mohammad Afif katika Picha ya Pamoja akiwa katika Harakati za Mwisho kuliaga Jiji la Cairo Baada ya Kumaliza Masomo yake ya Chuo Al-Azhar , Safari hii ilikuwa 3-12-2013 .

Picha ya Pamoja Wasindikizaji Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Cairo - Misri
Hawa Ni Baadhi ya Ndugu zetu wageni nao walipata Fursa ya Kuja Uwanja wa Ndege kumsindikiza Ndugu yetu Hussein Mohammad Afif akirejea Nyumbani Tanzania.

No comments:

Post a Comment