Monday, December 02, 2013

Dua katika kukumbuka Siku ya Kuzaliwa Bi Salma Rashid Mkwachu Mke wa Rais wa Tanzania Mh Jakaya Mrisho Kikwete.

Mama Salma Rashid Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh , Jakaya Mrisho Kikwete Katika Dua hiyo.
Muongoza Shughuli Sheikh Mohammad Nassor Amran ,akimkaribisha Mama Salma kutoa Neno la kumbukumbu katika Shughuli hiyo.
Mama Salma Akitoa Neno la kumbukumbu katika Shughuli hiyo ya kukumbuka Uzawa wake ambapo anatimiza Miaka 50 , Shughuli hiyo ya Dua ilifanyika Jijini Dar es salaam , Magogoni na kuhudhuliwa na Watu mbalimbali , kwa Niaba ya KKIISLAM BLOG , Tunamtakia Umri mrefu wa Ibada , kheri na FANAKA , AFYA NJEMA na yote yaliyo Mazuri . Amiin

Picha na Mpiga Picha Maalum.

No comments:

Post a Comment