Tuesday, June 05, 2012

NDOA





Arguments and misunderstandings are going to happen even in the best of marriages. Good communication and calmly listening to each other’s views can remove tensions and problems.
If you are going through difficulties and sincerely want to ...make your marriage work, make Dua and don’t give up! Allah SWT said “…if the both of them truly desire reconciliation, Allah will bring about a reconciliation between them ” Qur an An Nisa Verse Number 35.

َإِنْ خِفْتُمْ شِقَاقَ بَيْنِهِمَا فَابْعَثُوا حَكَماً مِنْ أَهْلِهِ وَحَكَماً مِنْ أَهْلِهَا إِنْ يُرِيدَا إِصْلاحاً يُوَفِّقْ اللَّهُ بَيْنَهُمَا إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلِيماً خَبِيراً

Tafsiri ya Aya ya Surat An Nisa Aya Namba 35. M/Mungu anasema " Na mkichelea kutakuwapo mfarakano baina ya mke na mume basi pelekeni muamuzi kutokana na jamaa za mume, na muamuzi kutokana na jamaa za mke. Wakitaka mapatano Mwenyezi Mungu atawawezesha. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye habari. "

Hii Ndio Njia Kuu ya Marejeo Pale WanaNdoa wanapo Patwa Na Jambo katika Maisha yao ya Ndo Sio Kukimbilia Polisi. 

No comments:

Post a Comment